
Wakristo wanaitwa, wanatumwa kumtangaza na kumshuhudia Kristo Yesu aliyeteswa, akafa na kufufuka kwa wafu kiini cha imani na wito wao katika maisha ya Kikristo!
Wakristo: Mnaitwa na kutumwa kumtangaza na kumshuhudia Mwana Kondoo
Liturujia la Neno la Mungu, Jumapili ya II ya Kipindi cha Mwaka B wa Kanisa inajielekeza zaidi katika mchakato wa wito na ushuhuda! Wakristo kwanza kabisa wanaitwa kuchuchumilia utakatifu unaoshuhudiwa katika mchakato mzima wa maisha ya mwamini: kiroho na kimwili! Ushuhuda wenye mvuto na mashiko!
Mitandao ya kijamii: