Injili ya huruma ya Mungu ni kiini cha maisha na utume wa Kanisa
Huruma ya Mungu ni muhtasari wa historia nzima ya ukombozi wa mwanadamu unaofikia kilele chake katika Fumbo la Msalaba, yaani: mateso, kifo na ufufuko wa Kristo Yesu kutoka kwa wafu. Baba Mtakatifu Francisko anawaalika waamini kumwilisha huruma ya Mungu katika matendo ya huruma.
Mitandao ya kijamii: