
Papa Francisko amefungisha Sakramenti ya Ndoa kwa wafanyakazi wa Shirika la Ndege walioshindwa kuadhimisha Sakramenti hii Kanisani kutokana na tetemeko la ardhi lililoikumba Chile kunako mwaka 2010. Wanatumwa kuwa ni mashuhuda wa Injili ya ndoa na familia kwa jirani na wafanyakazi wenzao!
Papa Francisko afungisha ndoa angani wakati akielekea Jimboni Iquique
Baba Mtakatifu Francisko baada ya kusikiliza historia na maelezo yaliyotolewa na wachumba wawili Bi Paula Podesà na Bwana Carlos Cuffando Elorriaga wafanyakazi wa Shirika la Ndege la Latam 124b, ameamua kuwafungisha ndoa na kuwataka wawe ni mashuhuda wa Injili ya familia kwa jirani zao!
Mitandao ya kijamii: