
Baraza la Maaskofu Katoliki Marekani linawaalika waamini na watu wenye mapenzi mema kushiriki katika mateso na matumaini ya wakimbizi na wahamiaji duniani.
Waamini onjeni mateso na matumaini ya wakimbizi na wahamiaji duniani!
11/01/2018 15:43
Baraza la Maaskofu Katoliki Marekani, kuanzia tarehe 03 hadi 13 januari 2018 linaadhimisha Juma la Wakimbizi na Wahamiaji nchini humo kwa kuongozwa na mwaliko kwa waamini na watu wote wenye mapenzi mema kushiriki kikamilifu katika mateso na matumaini ya wakimbizi na wahamiaji duniani!
Mitandao ya kijamii: