
Askofu mkuu Ruwaichi: Alhamisi kuu ni Siku ya: shukrani kwa zawadi ya wito wa kipadre; ni muda wa kuchunguza dhamiri kuhusu ahadi za kipadre katika ukweli na unyenyekevu; ni siku ya kuombea, kukuza na kudumisha miito!
Askofu mkuu Ruwaichi: Alhamisi Kuu: Shukrani, uaminifu na miito!
Askofu mkuu Yuda Thaddeus Ruwaichi wa Jimbo Kuu la Mwanza, Tanzania anasema, Alhamisi kuu ni muda muafaka kwa Mapadre kumshukuru Mungu kwa zawadi, wito na maisha ya kipadre; ni wakati wa kutafakari katika ukweli na unyofu ahadi zao za kipadre na mwisho kuombea, kukuza na kudumisha miito.
Mitandao ya kijamii: