
Jumuiya ya Kimataifa haina budi kulinda haki msingi za watoto wanaoishi katika mazingira ya vita na machafuko ya kisiasa.
Mbinu mkakati wa kuwalinda watoto kwenye maeneo ya vita na kinzani
10/07/2018 15:09
Askofu mkuu Bernardito Auza anasema, Jumuiya ya Kimataifa haina budi kulinda haki msingi za watoto wanaoishi katika maeneo ya vita kwa kuwawajibisha kisheria wale wote wanaowapeleka mstari wa mbele na kwenye mifumo ya utumwa mamboleo, kwa kuwaingiza katika jamii na kuwapatia elimu makini.
Mitandao ya kijamii: