Askofu Charles Kasonde amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa AMECEA na Padre Anthony Makunde kuwa Katibu mkuu wa AMECEA kwa kipindi cha miaka minne kuanzia sasa.
Viongozi wapya wa AMECEA: Askofu Charles Kasonde na Padre A. Makunde
Shirikisho la Mabaraza ya Maaskofu katoliki Afrika Mashariki na Kati, AMECEA limemchagua Askofu Charles Kasonde wa Jimbo Katoliki la Solwezi, Zambia kuwa Mwenyekiti mpya wa AMECEA kwa kipindi cha miaka minne. Katibu mkuu ni Padre Anthony Makunde, kutoka Jimbo Katoliki la Mbeya, Tanzania.
Mitandao ya kijamii: