Baba Mtakatifu Francisko amemteu Mwalikilishi wa Kudumu wa Vatican katika ofisi za Jumuiya ya Kiuchumi kwa nchi za Afrika Mashariki (ECOWAS/CEDEAO) Askofu Mkuu Antonio Guido Filipazzi wa Sutri ambaye ni Balozi wa Kitume nchini Nigeria.
Sr Angela Rwezaula
Idhaa ya Kiswahili ya Radio Vatican
All the contents on this site are copyrighted ©. |