2014-10-31 15:50:16

Askofu Mbarga ateuliwa kuwa Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Yaoundè, Cameroon


Baba Mtakatifu Francisko amemteua Askofu Jean Mbarga kuwa Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Yaoundè, Cameroon. Kabla ya uteuzi huu, Askofu mkuu mteule Mbarga alikuwa ni Askofu wa Jimbo Katoliki Ebolowa na Msimamizi wa kitume wa Jimbo kuu la Yaoundè.







All the contents on this site are copyrighted ©.