Askofu Mbarga ateuliwa kuwa Askofu mkuu wa Jimbo kuu la Yaoundè, Cameroon
Baba Mtakatifu Francisko amemteua Askofu Jean Mbarga kuwa Askofu mkuu wa Jimbo kuu
la Yaoundè, Cameroon. Kabla ya uteuzi huu, Askofu mkuu mteule Mbarga alikuwa ni Askofu
wa Jimbo Katoliki Ebolowa na Msimamizi wa kitume wa Jimbo kuu la Yaoundè.